Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Jamaa inaonekana yuko vizuri aisee vinginevyo angeweza hata kufyatua magotiAtakufa kabla ya umri wake huyu..shauri yake



Jamaa inaonekana yuko vizuri aisee vinginevyo angeweza hata kufyatua magotiAtakufa kabla ya umri wake huyu..shauri yake



Unapenda bipasho unauwezo wa kugombana na mtu msaaa mangapi bila kuchoka mpendwa❤️Habari ndio hiyoView attachment 1891354
Kesi hii itafika mpaka kwa mama. Sijui ndo itakuwaje sasa.
Simpandi namparamiaUsiku mwemaView attachment 1891359

Mjukuu wangu...Usiku mwemaView attachment 1891359





Na wewe unatoka Tanga mpendwa? What a coincidence!Watanga huwa hatujaribiwi wala hatupigwi chini labla wenyewe tuamue


Wallah sijawahi kugombana na mtu,Kulushiana maneno siwezi,najijua nitaishia Kulia tuUnapenda bipasho unauwezo wa kugombana na mtu msaaa mangapi bila kuchoka mpendwa![]()

Katika kitu nisicho kipenda wakati wa kulala Ni kukumbatiwa!Mie nikimpata wa kulala nae,nitaleta mrejeshoView attachment 1890666
'Amani ya akili na moyo'
Mkuu huja 'skrinishut' unitumie pm?! Nakaribia kutuma maombi kwa Shimba, isije nikawa najila tuu


Nimekuelewa babu,,,,,,mie nipo hapa naota motoMjukuu wangu...
Mjukuu wangu...
Mjukuu wangu...
Nimekuita mara tatu. Bila shaka unaelewa maana yake!![]()
Mnateseka woteLeo tuko Sinza hapaView attachment 1891370
Najijua nalala hovyo,hivyo kulala zaidi yangu,mbona nitajiona nimelala kwenye chupa

Inabidi uwe na bed la 6/6Najijua nalala hovyo,hivyo kulala zaidi yangu,mbona nitajiona nimelala kwenye chupa![]()
Duh..! Si kwa ukazibe huo.Mkazie hivyo hivyo huyo baharia mjukuu wangu. Sijaona pdf wala nini. Hapa nilipo nimefura vibaya sana![]()