moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 158,234
- 775,715
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baharia anapambana laivu. Safari nyingine watakwenda PM [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baharia anapambana laivu. Safari nyingine watakwenda PM [emoji16]
Frankly speaking; nani anaweza kumkosoa Mbowe na akabaki salama huko CHADEMA? This applies to both/all.
Aseee, mzee haukubali kushindwa[emoji23]
Baharia anapambana laivu. Safari nyingine watakwenda PM [emoji16]
I hope wahusika sijawakwaza [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fact, na hii pia sijawahi kumkubali porn star Gwajiboy wala mwendakuzimu the late Hamnazo lakini kwenye suala la kusimamia alichokuwa akikisimamia tangu awali ni credit kwake(haimaanishi ninakubaliana na mtazamo wake [emoji817] kwenye issue ya Covid19).Gwajiboi naye anaupiga mwingi sana [emoji16]
View attachment 1888805
Nadhani hujawakwaza.I hope wahusika sijawakwaza [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Bora umeustukia mchezo, mimi nilistuka tokea picha linaanza.Nchi yangu TANZANIA.
Hivi inawezekana kabisa hawa Jamaa kutufanya sisi wote wajinga?!
Hili gazeti ni mali ya nani,kabla ya kuchapa huwa hawahariri habari zao?!
Wazee wa kutengeneza tatizo na kulitatua,kuna jambo linafichwa hapa.
Drama tuwaachie wasanii, please
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Nenda pm,
Nimekutumia misambwanda kama yote[emoji23]
Mkuu. Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi. Tulisoma hizi methali darasa la nne ohoo...Mjukuu usimsikilize huyu baharia [emoji16][emoji16][emoji16][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Na mimi dia.
Jamani soulimeti. Na ulimbwende wote huo; ni mwanaume gani ana ubavu wa kukufanyia ukatili hivi? Mpaka leo nakuna kichwa ule uzi wako masikini eti umeachwa wakati baharia ulikuwa unampenda hatari. Mabaharia wengine wana roho gani jamani? Kabinti kapole keupe kalimbwende kachangamfu kasomi kenye msambwanda kama wewe unakaacha kwa sababu gani jamani? Yaani sielewi kabisa [emoji16][emoji51]Dah inauma hii[emoji23] ngoja nilale tu sasa
Hii ni sawa na kuuliza: ulishawahi kumbikiri binti ye yote?[emoji16][emoji16]View attachment 1888876