moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,142
- 770,237
Frankly speaking; nani anaweza kumkosoa Mbowe na akabaki salama huko CHADEMA? This applies to both/all.
Aseee, mzee haukubali kushindwa![]()
Baharia anapambana laivu. Safari nyingine watakwenda PM![]()
I hope wahusika sijawakwaza



Fact, na hii pia sijawahi kumkubali porn star Gwajiboy wala mwendakuzimu the late Hamnazo lakini kwenye suala la kusimamia alichokuwa akikisimamia tangu awali ni credit kwake(haimaanishi ninakubaliana na mtazamo wake
kwenye issue ya Covid19).Nadhani hujawakwaza.I hope wahusika sijawakwaza![]()
Bora umeustukia mchezo, mimi nilistuka tokea picha linaanza.Nchi yangu TANZANIA.
Hivi inawezekana kabisa hawa Jamaa kutufanya sisi wote wajinga?!
Hili gazeti ni mali ya nani,kabla ya kuchapa huwa hawahariri habari zao?!
Wazee wa kutengeneza tatizo na kulitatua,kuna jambo linafichwa hapa.
Drama tuwaachie wasanii, please
Mkuu. Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi. Tulisoma hizi methali darasa la nne ohoo...Mjukuu usimsikilize huyu baharia
Na mimi dia.



Jamani soulimeti. Na ulimbwende wote huo; ni mwanaume gani ana ubavu wa kukufanyia ukatili hivi? Mpaka leo nakuna kichwa ule uzi wako masikini eti umeachwa wakati baharia ulikuwa unampenda hatari. Mabaharia wengine wana roho gani jamani? Kabinti kapole keupe kalimbwende kachangamfu kasomi kenye msambwanda kama wewe unakaacha kwa sababu gani jamani? Yaani sielewi kabisaDah inauma hiingoja nilale tu sasa


Hii ni sawa na kuuliza: ulishawahi kumbikiri binti ye yote?










