Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,735
- 76,360
Nope! Karabai!!Kandili
Nope! Karabai!!Kandili
Fisi kala fisi hiyo..
Wanaume bora tuwe na ndevu tu! Waache vyovyote watakavyosema sawa. Ukiwa huna ndevu asubuhi ukiosha uso huna tofauti na embe ikioshwa!
![]()



Mkuu inaonekana unapenda mitandam kama hyoKama nakwenda kulima au kwenye show ya kueleweka na jimama la uhakika kama hili huu haunitoshi
View attachment 1885790


Aisee. Nice to know. Asante kabisa!Mkuu, you are very wrong! I remember those time they were touring around in different schools, it was in 1993/94
I'm about few years to be 40 yrs old(I'm below 40).
Mkuu, usiulize majibu kwenye mtihani usiokuwa na maswaliMkuu inaonekana unapenda mitandam kama hyo![]()


Scavengers huyu yeye hachagui yaani. Na hakuna mnyama mlafi kama fisi...Fisi kala fisi hiyo..View attachment 1888445
Ni kifo tu hakuna otenativu nyingineUkimtania watoto sio wako kama ni Mkurya itakuwaje?
Viatu vya mabishoo hivyo mkuuCc mdogo wangu,
inaonekana anapenda hivyo viatu maana anavyo pair mbili,vyeusi na vyeupe

. Tena anazo pair mbili kabisa, je hana pair ambayo kiatu kimoja unakuta upande mmoja mweusi mwingine mweupe, na kiatu kingine kinakuwa hvohvo?Hiki nacho kichekesho!