Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,900
- 136,567
Onyo hilo unapewa. Ukiendelea kitakachokupata shauri yako !!!
Kama nakwenda kulima au kwenye show ya kueleweka na jimama la uhakika kama hili huu haunitoshiBabu utamaliza huoView attachment 1885777






Hawa ni wakurya kina Marwa na ChachaJamani siyo Mnyamwezi imekuwa Msukuma tena dah !
View attachment 1885776
Huyu hapa mchapeniOnyo hilo unapewa. Ukiendelea kitakachokupata shauri yako !!!
View attachment 1885789



Mwambie huyu dogo haelewi![]()
anatusingizia wasukumaOngezea na hiviKama nakwenda kulima au kwenye show ya kueleweka na jimama la uhakika kama hili huu haunitoshi
View attachment 1885790








Sawa babuMwambie huyu dogo haelewi![]()
Endelea kusugua yebo yebo


Nawe siku moja utakuwa mzoga. Ni suala la muda tu kamanda. Usijisahau sana
Hili basi halijakamatwa?
Ule mzoga kule Burigi unaweza kufufuka.



Acha kuhangaika na milo ya wanaume. Saa sita ya usiku hii wanawake wenzio wako wanapelekewa moto we uko mitandaoni unabishana na mibaba unalalaga saa ngapi? Mjukuu kalale!
Ni mila, na huyo lazima aende peponi manake ameagwa vizuri.Mmh.. Hii ni mila ama ni udhalilishaji?View attachment 1885598
Mbona umemuweka Mshana hadhari hivi?
Mpaka siku itakapofika, hapa subject ni huo mzoga niliouzungumzi.Nawe siku moja utakuwa mzoga. Ni suala la muda tu kamanda. Usijisahau sana![]()
Bado maziwa hapo ili 'menyu' iwe kamili.