Jamaa ana chupa ya vant hapoAkikataa kuja, choma nyama, piga sherehe kivyako! Hakuna kubembeleza! 🤣 🤣 🤣
View attachment 1870843
The Good, The Bad and The Ugly. When I get paid, I see the job through....jamaa alikuwa hana utani. Akilipwa kukuua atakuua tu hata ufanyeje!
the g, the b and the u

Si ajabu ndo unaliaga mpaka na kamasi zito linakutoka



Ukiweza wapumzishe Wasukuma basi. Hamia kwa Wapare, Wanyakyusa, Wakinga au Wakurya huko. Na hapo si ajabu unapelekewa moto na Msukuma...Hoovyooo !!!