Mkeo hawezi hiyo kazi brotherSasa unataka tukanyolee wapi?![]()
Jo'burg hiyo, kawaida sana.Hii loba sio ya mbaoView attachment 1887228
Papaa huyo katumia kanuni ya 'akuanzaye mmalize'.Mjeshi mlendaView attachment 1887230
Unaweza kujikuta unamuahidi mtoto wa mtu ki ISTUkifanyiwa hivi huku unafanyiwa skrabu huchomoi![]()


Wasukuma na ugali dah!
Maboss wengi huwa ni watu wazima wenye ndoa zao, hapo ni kuchepuka tu"Uchumba huzaa ndoa" hapo kwenye ubosi hakunaga ndoa bali fimbo tu,labda 1.15% tu hufikia hatua ya ndoa.