Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

f2ade483c31e44f2a8b08da7592862c9.jpg
 
Nairobi ndio usipime, mara ya kwanza yalinikuta ya kihivyo, nikawa tayari kurudi ninyolewe kila siku sema niliogopa shemeji atashtukia mchezo, midemu huparamia mwanaume wanakufanya mavitu sijui mara scrub mara sijui nini...yaani mimi husema yes kwa chochote wanachouliza, ila nakua nimejiandaa na mihela.
Mimi niliambiwa "njoo huku nikuoshe nywele",nimeingia dah!! Huchomoki nikaacha 5k bila mpango...siku hizi nanyolea mtaani kwa 1.5k sitak mbwembwe
 
Back
Top Bottom