Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,236
- 31,197
Wa kuwa-tag maharusi please.
Basi zile 'mekapu' kapakwa na Barbara katika muendelezo wa kuivuruga Simba spoti.Yeah! Bila mekapu yuko vizuri...
View attachment 1884798
Mwenyekiti
Kazi nzuri hii 😂
Itabidi tunachukua pisi wa kujimwaya mwaya, yale magwaride, basi mkuu! 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Mara nyingi ni chakula mkuu. Hata kisirani, roho mbaya na chuki mara nyingi ni sababu ya kutoshiba![]()
Huyu anafaa ulinzi mkali, kama vipi after mama rais kustaafu, apewe yeye cheo! 🤣 🤣 🤣
Hii ndoa imeakufa siku ya 1 tu.
Msikilize muumbaji

Ni kama mgombea tu wakati wa uchaguz anawapa had wali wananchi ngoja apite sasaNa wengine ni kauzu tu ...View attachment 1884478
Najiuliza tshabalala na mkewe wanajisikiaje kuona walivyotrend
Moyoni unaomba Mungu iwe sio kwl japo hujui ukwl
Hii no kawaida, ikibidi hata cha 5 na cha 6 kinapigwa tuWapi huwa unamfanyia hivyo wifi yangu





Chama Noma sana.