Sipendi Uchawa
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,929
- 12,470
Sasa wasipodandia watabakije kuwa relevant? Kama huyo Kigogo siku hizi kageukia mipasho tu hana jipya tena!Huyu dada na mwenzake Kigogo kazi yao sasa ni kudandia mijadala inayokunya watu.
Yawezekana gloves hatuna. Inabidi zijumuishwe kwenye misaada tutakayopata.Hawa jamaa wanaotoa chanjo hawaruhusiwi kuvaa gloves?
Naona mara nyingi hawavai glove hasa hapa Tanzania!.
Au ni njia moja ya kuomba glove za msaada.
Mbali wapi?Mpendwa, una nini leo?
Ujue unanikumbusha mbali sana, ohoo![]()
Siyo maziwa hayo dogo. Ni watoto wenzio wanaangamizwa!Chah poo terView attachment 1883799
Waanzishe bendi ya taraab waendeleze mipasho ili majina yao yainuke mpaka nje ya TanzaniaSasa wasipodandia watabakije kuwa relevant? Kama huyo Kigogo siku hizi kageukia mipasho tu hana jipya tena!
Wapi huwa unamfanyia hivyo wifi yanguMpendwa, una nini leo?
Ujue unanikumbusha mbali sana, ohoo![]()
Hapana mkuu nimeiona kibahati mbaya tu!Mbingu itakuwa kama kitendawili kwako![]()