Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Wabongo bana [emoji16][emoji16][emoji16]
2.635200486045334E18.jpg
 
Mavi ya kale....[emoji16][emoji16][emoji16]

Newton alichonga Calculus akiwa nyumbani baada ya chuo kikuu cha Cambridge kufungwa kutokana na Great Plague of London mwaka 1665. Wakati huo mababu zetu hata sijui kama hata walikuwa wanavaa nguo [emoji16][emoji2099][emoji2099]
-6030858125332035126_121.jpg
 
Haya Mtumishi. Ana bahati huyo bro aliyeokota lulu katika shimo la taka. I hope he knows that. Kabarikiweni sana na matamanio ya mioyo yenu hiyo michanga inayodunda kwa matumaini makubwa na yakatimie...
View attachment 1884779

#MtaachanaTu [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Hiyo hash tag sasa, mmh.
 
Back
Top Bottom