Haya Mtumishi. Ana bahati huyo bro aliyeokota lulu katika shimo la taka. I hope he knows that. Kabarikiweni sana na matamanio ya mioyo yenu hiyo michanga inayodunda kwa matumaini makubwa na yakatimie...Teh Mtumishi umeanza lini kuniwangia? Aisee upendo wetu una nguvu kuliko hata mauti. Sisi ni till the second coming of Jesus![]()





Hulali? Au uko lokesheni unampelekea moto mtoto wa mwanaume mwenzio?







