Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kwa kweli ni miiba tu
Screenshot_20210720-210807_Instagram.jpg
 
Nchi ya matukio hii. Moto wa miamala ulipamba moto...watu wakaambiwa waende Burundi...mama akatoa maagizo wizara husika sijui zifanyeje...mara paap Mbowe ndani kwa ugaidi. Twitter na mitandao yote inamwongelea Mbowe. Miamala naona ndo imetoka hiyo. Mbowe ataachiwa na hakuna atakayekumbuka miamala tena hasa kama katukio kengine katafuatia. Bongo !!!
Screenshot_20210720-211842_Instagram.jpg
Screenshot_20210721-204758_Instagram.jpg
Screenshot_20210720-205436_Instagram.jpg
Screenshot_20210720-205312_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom