Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hivyoooo yaan.
FB_IMG_16265484257872765.jpg
 
Asante mkuu.
Mi pia nilikuwepo zama hizo kiongozi, nayakumbuka yote hayo.
Nakumbuka tukio la mmiliki wa CTN Al Munir Karim kumkodishia wauwaji Regnald Mengi, kwakuwa tu mswahili naye anaanzisha TV channel.
Ilikuwa mwaka 1992-93.
Kashfa hiyo iliondoka na aliyekuwa kamanda wa polisi D'salaam aliyeitwa Triphon Maji na Aliyekuwa katibu mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani wakati huo Silivano Adeli.

Nakumbuka fainal za kombe la Dunia mwaka 1994 tulijimwambafai kwenye TV channel zetu kupitia ITV.
Nashukuru ila ua Mengi sikuipata sababu nilikuwa kwenye ofisi ambayo sikuwa na muda wa kusoma magazeti na nikirudi nyumbani hoi hivyo nilimiss most of current affairs sababu tulikuwa hatuna internet ila tulikuwa tunapata kutoka shirika la dini or some sort of na unatuma email halafu postmaster akwambie kama imekwenda au la. Tumetoka mbali.
 
Msiniseme vibaya bajameni ila nimeona nidandie kwa dogo wangu Mshana jr.
Tujipange tufungue account bank ili tuepuke kutuma pesa kwenye mitandao. Kuanzia jana nimeliwa about 35,000/tsh. Hii si haki heri ziende bank kuliko kwenda kwa mnyiramba maana wote wanaweka viroba majumbani.
 
Back
Top Bottom