Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
Inaitwaje?
Kumbe huyu jamaa ni dereva wa Kampuni ya Newforce na hii picha anasema ilipigwa miaka minne nyuma na dereva mwenzake wakiwa Iringa ambapo alikuwa akiwataarifu abiria kwamba wamefika Iringa kwa ajili ya Chakula na kuchimba dawa,anasema huyu dereva mwenzake baada ya kupiga picha alienda kuiweka kwenye status ya whatsupp na ndio huko anahisi watu waliichukua.


Hapana.
You made my day
Hesabu Kali,ukilewa unatuma tuWametuwahiView attachment 1856253
Kasepa na kijiji