Tunazipiga na kameraHizi picha mnazipigaje?
Yeye wakwake unadhani wanasoma pale Jamuhuri???Anthony Mtaka Shikamoo!!View attachment 1856128






Watumiaji wa miamala ya simu waige moyo wa kizalendo ya wavuta sigara na wanywaji wa bia.Kwa Moyo wa dhati kabisa niwapongeze wanywa Bia na Wavuta Sigara popote pale walipo..
Wamelipa Kodi miaka yote kwa Uzalendo mkubwa bila malalamiko na Nchi ikafikia Uchumi wa Kati.
Serikali ikaona iwapunguzie kidogo kwenye local beers Kama Bakshishi,na ikatengeneza Kodi ya Kizalendo....
Wanywa Chai, Soda Na Juice Sasa, Nchi Haikaliki... Malalamiko tu...
![]()



