Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,826
- 11,647
Kulala kwangu maisha yake yote
Hiyo ni obvious...kama kuna mwanamme hajui hilo basi kuanzia leo ajue kwamba ANAIBIWA kimacho macho


Dada huo ni mlenda eeh na chapati hapowe si ndio wale wa kishua.
nitajaribuWanabadilisha mpaka Biblia ili kuondoa pronouns za she/he ~ her/him. Hata Mungu eti hatakiwi kurejelewa kama He/Him bali inabidi itafutwe pronoun ambayo ni gender neutral. Yaani hawa jamaa wanaopromoti mambo ya ushoga na mkanganyiko huu wa gender sijui hata lengo lao ni nini.
