Kweli kabisa mkuu, imagine mwanamke anakuteka anakubaka usiku mzima [emoji16][emoji16]Dah...kuna wanaume wana bahati sana kwenye maisha.
Unakuta mtu anakomalia royce ile feki wakati yeye hata hata uwezo wa kununua IST third hand hana[emoji16][emoji16]
Si bora alale ndani sasa, unakuta analala nje...anashindia mihogo tu na virungu kwa washkajiIST mbali sana kodi ya nyumba inamshinda
Kweli kabisa mkuu, imagine mwanamke anakuteka anakubaka usiku mzima [emoji16][emoji16]
Dooh[emoji16][emoji16]IST mbali sana kodi ya nyumba inamshinda
[emoji16][emoji16][emoji16]hako kamtaa katakuwa busy wanaume wanapita masaa 24Heheheh!! Nikijua wapi hapo wanaume wanatekwa nitakua napita pita kila siku na mimi nisake bahati hiyo....hawa viumbe hawa ukiwaza namna hutugharimu kuwafikia hapo kwenye mapaja yao, eti waanze ghafla kututeka na kutupea bure....aisei.
[emoji16][emoji16]View attachment 1855554
Mnataka tuhamie Zimbabwe?
Tuhamie Zimbabwe tuMnataka tuhamie Zimbabwe?