Kweli kabisa mkuu, imagine mwanamke anakuteka anakubaka usiku mzimaDah...kuna wanaume wana bahati sana kwenye maisha.


Unakuta mtu anakomalia royce ile feki wakati yeye hata hata uwezo wa kununua IST third hand hana


Si bora alale ndani sasa, unakuta analala nje...anashindia mihogo tu na virungu kwa washkajiIST mbali sana kodi ya nyumba inamshinda
Kweli kabisa mkuu, imagine mwanamke anakuteka anakubaka usiku mzima![]()
Heheheh!! Nikijua wapi hapo wanaume wanatekwa nitakua napita pita kila siku na mimi nisake bahati hiyo....hawa viumbe hawa ukiwaza namna hutugharimu kuwafikia hapo kwenye mapaja yao, eti waanze ghafla kututeka na kutupea bure....aisei.


hako kamtaa katakuwa busy wanaume wanapita masaa 24Mnataka tuhamie Zimbabwe?
Tuhamie Zimbabwe tuMnataka tuhamie Zimbabwe?