Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Wanyaki mpoooo?
Wasukuma hatuna mbwembwe za hivi. Labda ungesema Mhaya. Hujambo lakini?
mie sijambo sijui weye??Hakuna Kama mama.Nani kama Baba?
View attachment 1854124
Poa kabisa. Punguza kutuonea Wasukuma jamanimie sijambo sijui weye??





wacha tuwaonee maana hakuna Kama wasukuma,Haya sawa.Sheria isiyofuata haki ni dhuluma!
Naamini watamwachia.



mnajifunza kaletiHadi nimeogopa mmmmh
Nyuki wametumwa
Ndiyomnajifunza kaleti









Ndiyo
Hivi uko Zanzibar ama? Kama uko Zenj kuna ugeni wako wa Wasukuma unakujia huko
View attachment 1854134




labda ingekuwa nyasa ningewakaribisha