Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Zama zimebadilika
41d6bcb6744c43bab397f8e3f2337df0.jpg
 
Huenda ni vizombi.
Huwezi kunipeleka barabarani nikampiganie Fisadi.
View attachment 1853831
Fisadi wako ni shujaa wa mwingine (and vaisi vesa). Usifikiri wote walioingia (hawajapelekwa) barabarani ni wajinga!

Na Zuma wala hajahukumiwa kwa ufisadi. Amehukumiwa kwa kuidharau mahakama baada ya kutokwenda kusikiliza shauri lake. Na ana sababu za msingi zana kutokwenda. Kuna jaji ambaye ni adui yake na alitaka huyo jaji aondolewe katika jopo la majaji waliokuwa wamepangwa kusikiliza kesi yake. Na hii ni haki ya mshitakiwa. Jaji alikataa kujitoa naye Zuma akasema nami siendi kwa sababu hakutakuwa na haki. Kwa hivyo wengi wanaona Zuma kaonewa na haki zake za kikatiba zimevunjwa kwa vile tu ni mweusi. Angekuwa ni mzungu asingefungwa kwa sababu kimsingi hana kosa.

Kilichompeleka gerezani hakihusiani na ufisadi !!!
 
Back
Top Bottom