Sheria isiyofuata haki ni dhuluma!Kweli, ila uzuri ni kwamba sheria imeshachukua mkondo, haijalishi kama kuna wanaomuona shujaa au kibaka.
Wakamsaidie kwenye rufaa.
Bonge la sailensa!
Halafu li Sophia lizuri sasa dah!
Na wewe ni last born mkuu?Hahaha


Wapare na ubwabwa dah!




Sijui mpoje

Wasukuma hatuna mbwembwe za hivi. Labda ungesema Mhaya. Hujambo lakini?Msukuma.


