Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Mtakoma nyie mtakaokufa,maana moto si mchezo
Moto wa wapi tena?Mtakoma nyie mtakaokufa,maana moto si mchezo
Wa mbinguni,Moto wa wapi tena?
Huenda eneo hilo lina vibaka
Wengi (kama siyo wote) tutakwenda akhera/Paradiso. Wanaume wengi hatuna madhambi kihivyo. Kwa hivyo Molla Ataamrisha: Wanaume wote akheraWa mbinguni,



Una vingapi kati ya hivyo?



Mkuu umejaaliwa kuwa na kipi kati ya hivyo vitu hapo





kuna mmoja alikujaga kufturu home,alikuwa anakula ugali na tambi Kama mboga
asee tulimuacha tu,yeye sip msukuma ni mmatengo
Duuu umeniwahiUna vingapi kati ya hivyo?
Naamini wewe siyo mbung'o!



KimojaMkuu umejaaliwa kuwa na kipi kati ya hivyo vitu hapo![]()

Atueleze hapa hapa tujue japo nilishamwona kule kwenye kuselfika. Dogo ana vidimpozi vya kishikaji na bado pengine ndo kwanza anagusa eitiini japo alikuwa amejiziba na maemoji ya kila aina...Duuu umeniwahi![]()