Sawa sawa Mkuu...Kwenye app haufunguki. Nitajaribu kwenye web nione itakuwaje. Yote kwa yote asante sana bro mwenza rafiki wa Wanyaki![]()
Tigo wao wanatoa ChaAsubuhi🤪🤪 hii mitandao sasa itatukana
Mi nashauri aachane na vijana, aweke Wazee tuHabarini za Sasa hivi wenzangu!!
Juzi Mh. Rais wakati akiongea na Vijana Mwanza, alisema anaandaa mkeka wa DC's DED's na DAS's wengi ni Vijana. Navyojua 98% ya wanakundi hili ni Vijana tena wasomi.
Nichukue nafasi hii kukutakia kila la heri katika majukumu yako mapya wewe utakayebahatika kuingia kwenye mkeka wa Mama!
Ukipata Usisahau kuwa nilikutabiria