Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

20210619_043641.jpg
 
Habarini za Sasa hivi wenzangu!!

Juzi Mh. Rais wakati akiongea na Vijana Mwanza, alisema anaandaa mkeka wa DC's DED's na DAS's wengi ni Vijana. Navyojua 98% ya wanakundi hili ni Vijana tena wasomi.

Nichukue nafasi hii kukutakia kila la heri katika majukumu yako mapya wewe utakayebahatika kuingia kwenye mkeka wa Mama!

Ukipata Usisahau kuwa nilikutabiria
 
Habarini za Sasa hivi wenzangu!!

Juzi Mh. Rais wakati akiongea na Vijana Mwanza, alisema anaandaa mkeka wa DC's DED's na DAS's wengi ni Vijana. Navyojua 98% ya wanakundi hili ni Vijana tena wasomi.

Nichukue nafasi hii kukutakia kila la heri katika majukumu yako mapya wewe utakayebahatika kuingia kwenye mkeka wa Mama!

Ukipata Usisahau kuwa nilikutabiria
Mi nashauri aachane na vijana, aweke Wazee tu
 
Back
Top Bottom