Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Nilishuhudia mtanange huu wa waoaji kwa mtoto wa mjomba nilishangaa sana. Waoaji walikuwa wanapambana mpaka ng'ombe wakafika 85 na pesa laki 8. Kisa tu binti alikuwa cheupe, toli, kasoma (A'level) na umbo lake la haja. Ila wote walikuja kuzidiwa na jamaa mmoja aliyeingia na gia ya vieite na makorokocho mengine.
Kwahiyo mrembo akachagua mume mwenye V8?😀😀😀

Nina wasiwasi huyo binti atakuwa alipotoshwa, unaachache ng'ombe ambazo ni utajiri uende kwa mwenye V8🙆

Poor her 😂😂
 
IMG-20210618-WA0008.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom