Hon. Minister (as then he was).
Itakuwa ulimezea mate weye



Ila tuseme ukweli tu mkuu. Sisi kusoma tulichelewa. Mazingira yetu jangwa jangwa wazungu hawakupapenda. Badala yake wakavutiwa na hali ya hewa ya baridi baridi huko Kilimanjaro, Unyakyusani na huko Uhayani. Kama siyo Nyerere kuanzisha utaratibu wa kuchanganya vijana wakati wa boarding school wengi wetu tusingesoma. Imagine mimi O level nilibebwa kutoka Shinyanga na kwenda Iringa halafu A level nikapelekwa Bukoba...
Mara nyingi wanawake wanapenda sana kutoa vitisho baada ya miscall mbili au tatu hivi.

Salaam mkuu KhantweUshindweeee
Nilishuhudia mtanange huu wa waoaji kwa mtoto wa mjomba nilishangaa sana. Waoaji walikuwa wanapambana mpaka ng'ombe wakafika 85 na pesa laki 8. Kisa tu binti alikuwa cheupe, toli, kasoma (A'level) na umbo lake la haja. Ila wote walikuja kuzidiwa na jamaa mmoja aliyeingia na gia ya vieite na makorokocho mengine.Ndiyo utasahau na kurudi kwenu hivyo, manake niwajuavyo ndugu zetu kila wakikuangalia watakuwa wanashindana dau la Ng'ombe.
Madilisha akitaja ng'ombe 100, Mashimo yeye anataja 120 wakati Masanja anataja 150ili mradi wakupate
Hii ni picha ya Wanyakyusa na hii ni barabara kuu inayotoka Uyole kwenda Kyela. Picha hii imezunguka sana mitandaoni kuanzia mwaka juzi. Acha kusingizia Wasukuma wewe



Wacha bhanaMe nimeshangaa maana kwenye radar zangu hakunaa mnyakyusa aliyepo baharini wote wapo nchi kavu
Ila tuseme ukweli tu mkuu. Sisi kusoma tulichelewa. Mazingira yetu jangwa jangwa wazungu hawakupapenda. Badala yake wakavutiwa na hali ya hewa ya baridi baridi huko Kilimanjaro, Unyakyusani na huko Uhayani. Kama siyo Nyerere kuanzisha utaratibu wa kuchanganya vijana wakati wa boarding school wengi wetu tusingesoma. Imagine mimi O level nilibebwa kutoka Shinyanga na kwenda Iringa halafu A level nikapelekwa Bukoba...
Mambo yameanza kubadilika hata hivyo na sasa tunasoma. Hata ukipita huko vijijini unaweza kuyaona mabadiliko japo safari bado ni ndefu...
Kinachonishangaza ni hawa Wanyaki. Kusoma wamesoma lakini ushamba karibia wanatutoa knockout. Why? Wangekuwa hawajasoma ingekuwaje?
View attachment 1821996

Hii ni picha ya Wanyakyusa na hii ni barabara kuu inayotoka Uyole kwenda Kyela. Picha hii imezunguka sana mitandaoni kuanzia mwaka juzi. Acha kusingizia Wasukuma weweView attachment 1822011
Nilishuhudia mtanange huu wa waoaji kwa mtoto wa mjomba nilishangaa sana. Waoaji walikuwa wanapambana mpaka ng'ombe wakafika 85 na pesa laki 8. Kisa tu binti alikuwa cheupe, toli, kasoma (A'level) na umbo lake la haja. Ila wote walikuja kuzidiwa na jamaa mmoja aliyeingia na gia ya vieite na makorokocho mengine.
Mwenye ngo’mbe 200 ataning’oa😁Ndiyo utasahau na kurudi kwenu hivyo, manake niwajuavyo ndugu zetu kila wakikuangalia watakuwa wanashindana dau la Ng'ombe.
Madilisha akitaja ng'ombe 100, Mashimo yeye anataja 120 wakati Masanja anataja 150😃😃 ili mradi wakupate
Hivi ndio vizee vinavyofiaga gesti.