Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 33,954
- 56,074
Aiseee hii kali
Kuna jamaa daily anataka kuondoka na chaja yangu kwa kisingizio kuwa inajaza faster kuliko yake, kinachoshangaza zote ziko sawa. Napenda kuchukua nafasi hii kuwakumbusha kuwa unapomaliza kuchaji simu yako usichomoe simu na kuiacha charger kuendelea kuwepo kwenye umeme!
[emoji120][emoji120][emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanyonya na walamba uchi kazi wanayo. LolView attachment 1818826
Jizazi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Tuna iharibu maana ya maada!! Hiki ni kituko kweli?
[emoji849]
Kakaa kama karogwa..... Anaropoka tyu [emoji57]