Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Yaani hata akikukuta laivu unaipelekea moto hata kama alikuwa na mpango wa kuanzisha varangati anatulia tu na kukuacha umalize mishe zako huku akishangaa jinsi pisi ilivyo moto
Kweli kabisa...wala huna shida ya kuomba msamaha yeye mwenyewe ndio ataanza sema jamani basi muoe tuu kama mke wa pili
 
A short true sad story
400097100581_534370.jpg
 
Back
Top Bottom