Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,829
Yaani hata akikukuta laivu unaipelekea moto hata kama alikuwa na mpango wa kuanzisha varangati anatulia tu na kukuacha umalize mishe zako huku akishangaa jinsi pisi ilivyo moto [emoji16][emoji16]Kweli kabisa yaani dawa ya mke ni kiwa na pisi kali kuliko yeye. Lazima awe mpole tuu