Nyoooo, hatununui papaya, miwa, mihogo mchicha nk. Mchai chai ndo usiseme, ukiwa na kibustani chako tusitiane ujinga bana
Acha tujipe moyo tusio na magari. Tutaelewana tu mkishavuka 30; wakati huo men are dogs haziwaishi mdomoniNyoooo, mnajipa moyo tyuuh



Shida kubwa ni huruma yao tu...hawajui kumnyima mtu yaani



Staki kumbuka time ile nilivopata sup, niliondoka nyumbani kesho yake asubuhi bila hata kuaga kurudi chuo,


pole mamii, vimeo vinaharibu sana ratiba ya kurudi chuo!Sisi wengine tunazikwa na kimkeka chetu tu au tunapigwa kiberiti kabisa...ila kifo hovyoooo



Nazidisha kilio
Kweli kabisa yaani dawa ya mke ni kiwa na pisi kali kuliko yeye. Lazima awe mpole tuu