Friji zilikuwa chache, inawekwa kwenye Maji.Kitambo sana hiyo.
Waliokuwepo miaka ya 70 na 80 watakumbuka utamu wake
Hapo mnanunua madonge ya maji, mnayaweka kwa jegi pamoja na chupa zako za soda, zipate ubaridi! 😁
Utaambiwa hio nguo bei yake $laki 1. Majuu hamnazoKabuni mfano wa nyama kwa kweli ila siyo nyama halisi ni ubunifu tu wa mavazi wa lady gaga
Mbona wa kulala hajawekwa hapo.
Tena huyo mwezi kajitahidi sana bora yeye, nilishawahi kukutana na dogo mmoja yeye kila siku anapasha yani ana hali mbayaHuyo jamaa ana tatizo kubwa kuliko anavyodhani ndiyo maana mwezi mmoja kwake ameona kama miaka 10.
Uraibu wa kujichua unawasumbua sana watu bila kujali umri
Utaambiwa hio nguo bei yake $laki 1. Majuu hamnazo
Na bado hajakoma