Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,365
- 14,182
Duh ndio maana sijawahi kuhesabu mwalimu Nyerere memorial academy ni chuo kikuu
Ushabiki maandazi.Duh ndio maana sijawahi kuhesabu mwalimu Nyerere memorial academy ni chuo kikuuView attachment 1801827
Huyu jamaa anasema kuna wakati akilala na mwanamke kama hajamtosheleza anageuka anapiga bao moja la kujichua.Kwani hana mke tu katika huo umri?! Kwa upande wangu naona wengi wanafanya hvyo sababu hawana wanawake ila ukiwa nae ni ngumu sana kujichua hata nafsi inakusuta!
Asnte MpendwaGood night View attachment 1801794

AseeDuh ndio maana sijawahi kuhesabu mwalimu Nyerere memorial academy ni chuo kikuuView attachment 1801827
Hivi lile jopo lake la ulinzi liko wapi?
Miaka miwili iliyopitaUshabiki maandazi.
Michezo ni furaha/karaha ukilijua hili hata timu ifunge 20,haikubadili jinsia.
Sasa huyu kijana kama ni kweli ni bwege sana.
Imenikumbusha miaka ya 90 kuna mzee aliweka zamana mkewe kama Simba ikifungwa wajibebee buree, imagine..