Huyu nae yakaishaje?Kama hujui kufa kachungulie makaburi..View attachment 1791761
Anauchekelea mhogo wa jang'ombe huku akikibeza kibamia,hivi ni rizki au siyo rizki?
Duuh kweli wazo huru hili!!!True brother, wao hudhani wanaakili sana na siyo wa majaribio