Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1620560104940.jpg
 
Kwa mabinti wote na wamama mliopo humu. Happy Mother's Day jamani. Hakuna upendo kama wa mama hapa duniani. Hakuna !!!

Na kwenu ambao bado mama zenu wako hai. Wapendeni sana. Msimalize wiki bila kuwajulia hali. Na vizawadi vidogo vidogo (na vikubwa) kwa mama viwe ni kawaida...Wakija kuondoka maumivu na majuto yake huwa havielezeki. Na pengo lao huwa halizibiki...

Miaka mitatu nyuma mama yangu aliitwa. Kitinda mimba wake mimi nikaachwa mpweke. Mpaka leo simu yake bado ipo...na kuna siku mambo yakinizidia huwa napiga tu namba ile kama nilivyokuwa nimezoea...lakini sauti ile ya upendo na kicheko kile chenye kuondoa hofu vimenyamaza kimya. Happy Mother's Day Mom. Happy Mother's Day to you all


500077300658_292115.jpg
IMG-20210509-WA0033.jpg
 
Ndoa ndoa ndoa...

Huyu ni mke wa mtu. Anakatumia meseji kakijana kaje kamsaidie. Na nauli anatuma kabisa. Kumbe hata wanawake wanaweza kutuma nauli

La kusikitisha ni kuwa watu wamechomoa betri na kila kitu kimevuja...Vituko mtandaoni indeed!
400207300214_63095.jpg
 
Kwa mabinti wote na wamama mliopo humu. Happy Mother's Day jamani. Hakuna upendo kama wa mama hapa duniani. Hakuna !!!

Na kwenu ambao bado mama zenu wako hai. Wapendeni sana. Msimalize wiki bila kuwajulia hali. Na vizawadi vidogo vidogo (na vikubwa) kwa mama viwe ni kawaida...Wakija kuondoka maumivu na majuto yake huwa havielezeki. Na pengo lao huwa halizibiki...

Miaka mitatu nyuma mama yangu aliitwa. Kitinda mimba wake mimi nikaachwa mpweke. Mpaka leo simu yake bado ipo...na kuna siku mambo yakinizidia huwa napiga tu namba ile kama nilivyokuwa nimezoea...lakini sauti ile ya upendo na kicheko kile chenye kuondoa hofu vimenyamaza kimya. Happy Mother's Day Mom. Happy Mother's Day to you all


View attachment 1778739View attachment 1778746
Thanks a lot. I really proud of that.
 
Back
Top Bottom