Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,377





Yaan jamani, Kama Mimi nakula balaa ila sinenepi eti jamaniVimbaumbau dah! Vingine vinafukia misosi hatari lakini kunawiri ng'o. Viguse uone sasa....motooo
Bageshi usije ukaona hapaView attachment 1753174




At least leo umetupumzisha vimbao vimbao.Niliwahi kufanya huu utopolo wa kuingia leba. Maweeeee...Nawaheshimu sana wanawake aisee. Mama zetu hawa wameteseka sana kutuleta hapa duniani.....
NsamakaAt least leo umetupumzisha vimbao vimbao.