Mkalimani wa Bibi
JF-Expert Member
- Sep 6, 2017
- 801
- 3,143
Mh. Kigwangalla ana maoni gani kuhusu hili?
Niliwahi kufanya huu utopolo wa kuingia leba. Maweeeee...Nawaheshimu sana wanawake aisee. Mama zetu hawa wameteseka sana kutuleta hapa duniani.....
Hiyo video unayo unirushie?Mbaya zaid kwasisi ke ni kuona mwanaume wako anaomba vidio ya hamo ya uchi khaaa







Hivi hali ganja kweli huyu!?
Je mtu wa mortuary angeamua kufanya kama yeye je?