Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20210328_090249_878.jpeg
 
sijaelewa hii mkuu ufafanuzi plz
Pole, hiyo meli naskia ishatolewa tayari hapo lakini wacha nikafanye info digging kwanza.
Wachambuzi walikuwa wanasema inaweza chukua week nzima kuitoa hapo ilipokuwa imekwama(suez canal) na hasara imetokea kubwa sababu meli kibao hupita hapo kila siku, sasa zilikuwa pending zikingoja hiyo meli itolewe ili ziendelee na safari. Na pia nchi imepoteza pia
 
Back
Top Bottom