Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Sasa kwani hiyo niliyoandika hapo ni Kireno au Ki Hispania?Jesus...Ni jina la kawaida kwa watu wanaoongea Kihispania na Kireno na inatamkwa Hesusi na siyo Jizazi.
Ngoja wajikondeshe mpaka mishipa ya kupitisha mimba ikauke halafu waje waanze kutusumbua hapa




Mimi nilikuwa nafafanua tu kuhusu huyo mchezaji wa Ulaya uliyemtaja kuitwa Jesus (Hesus). Kuna uwezekano mkubwa ana asili ya Uhispania, Ureno au mataifa yanayozungumza lugha hizo. Na uelewa wangu unakomea hapo.Sasa kwani hiyo niliyoandika hapo ni Kireno au Ki Hispania?
We soma na uitafsiri kwa lugha zetu mbili Kisw na Kiingereza. Basi sema na mtakatifu kwa Kireno na Hispaniola.
Kwakweli mziki wa tango siyo wa kawaidaHalafu tuache kuitwa vibamia?
Na mianaume mingine inapambana kula na kupaka madawa ili washindane na tango ukubwa. Mungu tunusuru.

, kunyanyua chuma, Kasongo Sebene, vyote vinasubiri.Hahaa naona sasa wasukuma mmeanza kuwakubaliKama umelizwa mpaka na Wasukuma basi wewe ni hopulesi kabisa !!!
View attachment 1736313





Hakuna namna mkuu. Ni wengi mno inabidi tu tuwakubaliHahaa naona sasa wasukuma mmeanza kuwakubali![]()



Kawaida tu......mbona Lucas Kikoti wa Namungo FC anaitwa MTAKATIFU wa Kusini?
Si hata kuna mchezaji huko ulaya anaitwa Jesus?
Gabriel Jesus wa Man City ni rai wa Brazil ambao wanaongea Kireno kama moja ya Lugha rasmi nchini humo.Jesus...Ni jina la kawaida kwa watu wanaoongea Kihispania na Kireno na inatamkwa Hesusi na siyo Jizazi.
Sawa Mkuu!!!Gabriel Jesus wa Man City ni rai wa Brazil ambao wanaongea Kireno kama moja ya Lugha rasmi nchini humo.
Mi binafsi majina yake yote mawili yananifikirisha sana.View attachment 1736385
Hahaha, duu.Ni wakali sana wakisikia unataka kuwaharibia biashara yao...
View attachment 1736376
Sio mkorofi lkn utamu naujuaNa wewe kumbe ni mkorofi eeh!?![]()
