Mtu anajisokomeza lote hilo na kujitwanga sawasawa halafu siku ukikutana naye utasikia hujaniridhisha. Nitakuridhishaje wakati umezoea kujisulubu na matango? Shwaini kabisa![]()





Labda kwa sababu boys wanakuwa bado kwenye kubalehe, kipindi kile wanakuwa na viburi vinapelekea kutoheshimiana!Hivi kwanini boys are like that..!!?
Dah Africa watu walishajichokea na maisha




Halafu tuache kuitwa vibamia?
Kawaida tu......mbona Lucas Kikoti wa Namungo FC anaitwa MTAKATIFU wa Kusini?
Na Nyerere inakuaje?!Hapana, anaitwa Baba wa Taifa.
Jesus...Ni jina la kawaida kwa watu wanaoongea Kihispania na Kireno na inatamkwa Hesusi na siyo Jizazi.Kawaida tu......mbona Lucas Kikoti wa Namungo FC anaitwa MTAKATIFU wa Kusini?
Si hata kuna mchezaji huko ulaya anaitwa Jesus?