Hao hawana shidaNa wadada wafupi je!
Nimecheka hadi nikaliaDalili za virusi vya Corona kimsingi ni hisia zile zile unazopata wakati mke wako anaangalia simu yako... Kwa wale ambao utulivu ni sifuri.
Unaanza kuona ugumu katika kupumua
*Jasho jingi
*Udhaifu
*Maumivu ya kichwa
*Kuumwa tumbo nk.
*Na wakati anauliza Manka ni nani? Kikohozi kikavu huanza ghafla...






Daaa, kazi ya utumishi ngumu sana
Wafrika wenyewe hawatanunua hiyo

Muwe mnatuoneaga huruma jamani. Kuna ulazima hata wa kukagua simu kweli bageshi?Nimecheka hadi nikalia![]()
Mzaramo pyua kamwe hatazima labda umzimishe fizikale kwa ama kumziba mdomo au kumtwanga ngumi ya kichwa apoteze fahamu kwa muda. Tena ukute ni kimbaumbau uwiiii umekwisha




Yeah! It's me Lord. I repent. Please let your grace cover all my transgressions...



Ila jamani tuseme tu ukweli. Mtako kwa mwanamke ni kitu cha muhimu sana aisee. Ona hili toto hapa. Limo kwenye dera lakini mtako upo tu unachombeza...