Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Itabidi nipunguze kula viepeeHuyu mwana vipi? Afya mbovu, netiweki imegoma, kazidiwa sana au ni mwanaume wa Dar?
View attachment 1712082


Hah hahahaDalili za virusi vya Corona kimsingi ni hisia zile zile unazopata wakati mke wako anaangalia simu yako... Kwa wale ambao utulivu ni sifuri.
Unaanza kuona ugumu katika kupumua
*Jasho jingi
*Udhaifu
*Maumivu ya kichwa
*Kuumwa tumbo nk.
*Na wakati anauliza Manka ni nani? Kikohozi kikavu huanza ghafla...





Tena yawe yamechota KisimaniiiiiiiHakuna maji matamu kama ya hii friji...
View attachment 1712079
Hicho cha kubebea umbeakina kazi gan icho cha nyuma wakubwaView attachment 1712421
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
