Taavid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 8,320
- 71,084
Kabisa mkuu

Kabisa mkuu

Unaenda huko huko unatembeza kichapo kwake na huyo Mwamposa wake![]()


duhTechnical Attacks with long passes and distant shots towards the opponent goal...
If u know u know.View attachment 1713441
Na wadada wafupi je!
Hapa walikaa wakatulia sana hadi kutoa huu msamiati "Boob" si mchezo... Limekamilika
Mi ilibakia kidogo nipate hizo alama 5 lakini nikakumbuka kuna kipindi nilikuwa nikitumwa madukani kununua sigara wakija kuvuta wakibakiza nami naiba nakwenda kumalizia vile vipisi. Nakohoa weee lakini nimo tu mpaka siku moja nikafumwa na anko nikapewa kichapo cha uhakika na sikurudia tena mpaka leo. Thanks anko japo kile kichapo duh![]()




Ona sasa umekosa maksi tano kizembe sana.Kusema kweli roho imeniuma kiainaOna sasa umekosa maksi tano kizembe sana.


Technical Attacks with long passes and distant shots towards the opponent goal...
Kwako mwalimu kashasha



Ndio nimejua leo hii kituHapa walikaa wakatulia sana hadi kutoa huu msamiati "Boob" si mchezo... Limekamilika

