Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20210227_092258_858.jpg
 
Mi ilibakia kidogo nipate hizo alama 5 lakini nikakumbuka kuna kipindi nilikuwa nikitumwa madukani kununua sigara wakija kuvuta wakibakiza nami naiba nakwenda kumalizia vile vipisi. Nakohoa weee lakini nimo tu mpaka siku moja nikafumwa na anko nikapewa kichapo cha uhakika na sikurudia tena mpaka leo. Thanks anko japo kile kichapo duh
Ona sasa umekosa maksi tano kizembe sana.
 
NGOJA TUONE UTATOA SADAKA AU UTANUNUA
KONDOM Upo kanisani umebakiwa na 500
wakati wa kutoa sadaka ujumbe ukaingia
kwenye simu yako NUNUA CONDOM NIPO NJIANI
NAKUJA Nakuapia kwa mara ya kwanza
SHETANI anashinda jaribu hilo mbele ya
kanisa na mbele ya padre!
 
Back
Top Bottom