Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mi ilibakia kidogo nipate hizo alama 5 lakini nikakumbuka kuna kipindi nilikuwa nikitumwa madukani kununua sigara wakija kuvuta wakibakiza nami naiba nakwenda kumalizia vile vipisi. Nakohoa weee lakini nimo tu mpaka siku moja nikafumwa na anko nikapewa kichapo cha uhakika na sikurudia tena mpaka leo. Thanks anko japo kile kichapo duh
 
Watu wa Tanga wanafaidi jamani
FB_IMG_1611205099412.jpg
 
Back
Top Bottom