Sipendi Uchawa
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,934
- 12,485
Mzee wangu alifuma mahali nilipoficha lizla (tumisokoto twa kufungua bangi) nilitamani kupoteaMi ilibakia kidogo nipate hizo alama 5 lakini nikakumbuka kuna kipindi nilikuwa nikitumwa madukani kununua sigara wakija kuvuta wakibakiza nami naiba nakwenda kumalizia vile vipisi. Nakohoa weee lakini nimo tu mpaka siku moja nikafumwa na anko nikapewa kichapo cha uhakika na sikurudia tena mpaka leo. Thanks anko japo kile kichapo duh![]()




