Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Sema umasikini mbaya sana sana.

Nishawahi lala njaa siku moja first year mbona nililia na uzi nikaleta humu ndani sio kwamba sikula la hasha nilikula makande sema ndo hivyo sikushiba alafu yalikuwa mabaya yaani cha mtu mavi nimeamini.

Sasa ivi namshukuru Mungu nakula utamu utam 😀😀.

Nikipata chance ya kuiba kazini lazima nipite nayo you never know chakula na pesa tamu bana 😝😛😛

Kwa mioyo kama hii ya vijana wetu, ufisadi utakaa uishe kweli? 😳

Mtazamo wa Jamii kuhusu rushwa na mali za umma.jpg
 
Mkuu hii video sikuiona niliona ina trend twitter nikaipuuzia sema duuh kataa ndoa tunazidi kuchukua point 3
Prison guard aliliwa kwa hiari kabisa. Tena na wafungwa wawili. Kumbe ni mke wa mtu. Na wana katoto kachanga!

Wanasema kuwa pengine alifanya makusudi ili aachane na mumewe maana alijua kuwa ndani ya gereza kuna kamera 24/7!
 
Kwa wapenzi wa ndondi. Huyu kifutu cheupe unamtambua? Alikuwa bondia mmoja machachari sana enzi zake mpaka alipokutana na Mexican worrior mmoja wa kuitwa Marco Antonio Barrera akapigwa kweli kweli mpaka akaamua kuachana na Boxing. Yuko kwenye Boxing Hall of Fame!

IMG_20240709_135633_442.jpg
 
Back
Top Bottom