Django Doer
JF-Expert Member
- Jun 30, 2023
- 2,865
- 5,244
Pimeni dna wakuuu
Kuna watu wanapitia mengi sana hapa duniani aisee. Sad!
Huyu atakuwa kamchiti mkewe ila ni marufuku kumpigia magoti mwanamke hata iweje
Jamaa anazingua!!
Ukijitolea kwa mwanamke chukulia ni kama sadaka tu na usitegemee cho chote in return. A human being is capable of doing anything at anytime. Usitegemee kwamba eti ukimsomesha au kumjengea na kumnunulia magari ndiyo utanunua loyalty yake hapana. Ukitaka kwenda sawa na mwanamke wa hivyo, mzalishe; na hakikisha mtoto ni wa kwako. Hapo angalau atakukumbuka...
Wapi huko mtumishi?🙄🙄🙄Hii ndio Dunia ukiangalia hii meseji ni kama chai ila haya mambo yanatokea,mfano huko kwetu kuna mtu aliwahi kumfira baba ake
Hivi kumbe na wewe ni Mnyaki? 😳picha za harusi za mababu zetu hizo
Ukichapiwa halafu ukaanza kutangaza ni kujidhalilisha tu. Mwanaume unapiga kimya tu huku ukiumia na kutafuta suluhisho kivyako vyako 😁
Hii michirizi sio poa 🫡
Mimi si mnyaki mkuu ila pisi zao huwa nazikubali sana
Kabisa MkuuUkichapiwa halafu ukaanza kutangaza ni kujidhalilisha tu. Mwanaume unapiga kimya tu huku ukiumia na kutafuta suluhisho kivyako vyako 😁
Bila kusahau hiyo flat tummy 😋
Mtumishi unaniangusha sasa kha!Hii ndio Dunia ukiangalia hii meseji ni kama chai ila haya mambo yanatokea,mfano huko kwetu kuna mtu aliwahi kumfira baba ake
Ni bora ubaki single asee kama ndo hivyo maana utazidi kupata ugonjwa. Wa moyo daily ukikumbuka investment ya shobo na hela uliyowekeza kwa mchuchu 😶
DuuuhHii ndio Dunia ukiangalia hii meseji ni kama chai ila haya mambo yanatokea,mfano huko kwetu kuna mtu aliwahi kumfira baba ake