Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ukijitolea kwa mwanamke chukulia ni kama sadaka tu na usitegemee cho chote in return. A human being is capable of doing anything at anytime. Usitegemee kwamba eti ukimsomesha au kumjengea na kumnunulia magari ndiyo utanunua loyalty yake hapana. Ukitaka kwenda sawa na mwanamke wa hivyo, mzalishe; na hakikisha mtoto ni wa kwako. Hapo angalau atakukumbuka...
Naam kwenye kumzalisha upo zaidi ya sahihi hata akisaliti + kukuacha huyo mtoto atawaunganisha tu na hii nina ushaidi kabisa asee. Ila all factors constant inabidi mwanaume uwe mchoyo sana ukitaka uishi kwa amani and that includes being single 😁
 
Chukua jiwe hili mjukuu likakusaidie katika hekaheka zako 😁😁😁

Screenshot_20240710_214054_WhatsApp.jpg
 
Chukua jiwe hili mjukuu likakusaidie katika hekaheka zako 😁😁😁

View attachment 3039071
Hahah kwa kweli hapa mtaani kwetu kuna mama ntilie ni mjamzito wa 2nd born naendaga kula kwake daily kuna siku aliniomba buku nikamnyima sababu ni mke wa mtu. Kwanzia hiyo siku hadi leo akiniona ananihudumia ila ananuna.

Mimi principle yangu ndo hiyo i cant spend to a woman i ain't fucking hapana kwa kweli 😀 tit for tat
 
Hahah kwa kweli hapa mtaani kwetu kuna mama ntilie ni mjamzito wa 2nd born naendaga kula kwake daily kuna siku aliniomba buku nikamnyima sababu ni mke wa mtu. Kwanzia hiyo siku hadi leo akiniona ananihudumia ila ananuna.

Mimi principle yangu ndo hiyo i cant spend to a woman i ain't fucking hapana kwa kweli 😀 tit for tat
Unaweza kutoa kama sadaka tu na ubinadamu basi; bila kutegemea cho chote in return. Cha muhimu tu asizoee kuomba omba sasa maana siyo jukumu lako.
 
Back
Top Bottom