Django Doer
JF-Expert Member
- Jun 30, 2023
- 2,865
- 5,244
Naam kwenye kumzalisha upo zaidi ya sahihi hata akisaliti + kukuacha huyo mtoto atawaunganisha tu na hii nina ushaidi kabisa asee. Ila all factors constant inabidi mwanaume uwe mchoyo sana ukitaka uishi kwa amani and that includes being single 😁Ukijitolea kwa mwanamke chukulia ni kama sadaka tu na usitegemee cho chote in return. A human being is capable of doing anything at anytime. Usitegemee kwamba eti ukimsomesha au kumjengea na kumnunulia magari ndiyo utanunua loyalty yake hapana. Ukitaka kwenda sawa na mwanamke wa hivyo, mzalishe; na hakikisha mtoto ni wa kwako. Hapo angalau atakukumbuka...