Aibu aibu aibu 🙂🙂
Watanzania wana hela bhana, ila huyu akiambiwa alipe pamoja na 18% ya VAT atalalamika mpaka mbingu zipasuke.🙄🙄
Jaji adakwe akahojiwe, maana hakuna namna
Kosa kubwa sana kupeleka hela hizo kwenye Halmashauri zilizojaa wabadhirifu
Kuna harufu ya uhalifu hapo.
Naye atakukabili pia.
Laiti watu wangejua uchafu wa balozi Ami Mpungwe wangempuuzialia mbali.
Unamkula vizuri mpaka X wako ajue🤣🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Limepigwa show la hatari mpaka mzee baba katepeta.
Ndugu wakigombana chukua jembe ukalime.......
Hata mama anaweza kushangaa🙄
Mbona wanaohangaika kumchomoa hapo ni wanaume watupu, wamama acheni ulongo bhana