Hapana tafsida muhimuPole.
Hujawahi kuyaona matusi kwa macho mkuu?
Kiuno kama kimesagwa na greda. Mbavu nazo kama nimeponyoka kutoka kwenye kubananishwa na chatu. Mwili wote hoi yaani dah! Shida yote hiyo ya nini kamanda? Suluhisho ni hivi vipotabo. Tena upate ambako kamejitunza hakajaburuzwa sana dah! Hata milioni kumi ukiambiwa utoe mahari unaahidi tu yaani. Halafu kumbe nilichelewa kuhamia. I regret it!Mitulinga inakutoa jasho mzee🤣🤣🤣
Dokta; hutaki Lukasi awe anabubujikwa na machozi ya utamu? 😳Hata kwa hela nimehairisha.
Yaani nimtengenesee Lucas mautamu? Anyonye hizo hizo ndala.
Kiuno kama kimesagwa na greda. Mbavu nazo kama nimeponyoka kutoka kwenye kubananishwa na chatu. Mwili wote hoi yaani dah! Shida yote hiyo ya nini kamanda? Suluhisho ni hivi vipotabo. Tena upate ambako kamejitunza hakajaburuzwa sana dah! Hata milioni kumi ukiambiwa utoe mahari unaahidi tu yaani. Halafu kumbe nilichelewa kuhamia. I regret it!
Mkuu mbona hauna siri!!?Wewe hapo🤸😂
Acha kamba ndugu yangu. Habari nilizonazo ni kwamba hata hapa hapa tulipo bado unaburuza mitulinga tena ile gredi wani kabisa. Labda miaka 10 huko mbele ya safari ndo utaanza kusalimu amri. Wanasemaga vunja mifupa wakati meno ingaliko! 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Kumbe umekuwa kama Mimi Mkuu, Mwaka 47 ilikuwa ndiyo pisizangu hizo
Kwa umri huu nikisema nichukue wa hivyo lazima nikufe Kwa kifua 😜
Kwanini uumie roho mkuu?Mkuu mbona hauna siri!!?
Kila kitu mnakisema hapa hapa hadharani jamani mnanichoma roho🙄🙄🙄
Mabinti wa siku hizi hawafundwi mkuu. Usishangae!Mkuu mbona hauna siri!!?
Kila kitu mnakisema hapa hapa hadharani jamani mnanichoma roho🙄🙄🙄
Mimi si mtani wako.Kwanini uumie roho mkuu?
Huyo Dr Restart ni mtani wangu nampenda sana
Mkuu hapo kuna siri gani sasa ya kufichwa? Hapa tuna chit chat tuMabinti wa siku hizi hawafundwi mkuu. Usishangae!
Busta zipi hizo mkuu tupe mbinuNguvu unazo ni kubust na busta ya kienyeji
Karanga mbichi, mihogo mibichi, nazi, tikiti maji, mtindi nkBusta zipi hizo mkuu tupe mbinu