Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,961
- 24,187
Enheee hebu njoo nimalize kazi nifurahie kazi ya mikono yangu.Wewe hapo🤸😂
Enheee hebu njoo nimalize kazi nifurahie kazi ya mikono yangu.Wewe hapo🤸😂
Nilikutumia essay pm nasubiri majibuEnheee hebu njoo nimalize kazi nifurahie kazi ya mikono yangu.
Ebo🙄
Ile mizigo mkuu umri hauruhusu tena. Nimehamia rasmi huku kwa tuvimbaumbau. Cha muhimu tu kiwe slim thick (if you know what I mean). Hii mitulinga kama ya huku Singida kwenye alizeti labda mara moja moja tu mkuu ila kuweka kambi hapana kwa sasa! 😁😁😁🖐🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Mkuu unachokihubiri na unachokitenda ni vitu viwili tofauti 🙌
Mbona huyo Mama E hana zile nyama nyama kama ile mizigo Mkuu 😅 😜
Umefanya nimzoom mara mbili mbili kujiridhisha, Kwa mbali utasema Bibi yenu Mwaka 47 🤗
Hujawahi kufanya hivyo.Nilikutumia essay pm nasubiri majibu
Duh! Mkuu ebu edit hilo neno kama mimi hapo😂 ungetumia tafsida ya mtiEbo🙄
Mbona hata mti hauna mfupa na lisiposimama nyumba inatikisika???😤😤😎😎
😂Mbona unachomoa betri sasaHujawahi kufanya hivyo.
😂Mbona unachomoa betri sasa
Vaa miwani utaona mkuuHebu kuja. Acha lomoni nyingi.
Nimeshindwa kuelewa. Bakia na lapa zako.Vaa miwani utaona mkuu
Mimi nipo serious nataka nimiliki embe sindano