Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mkuu unachokihubiri na unachokitenda ni vitu viwili tofauti 🙌

Mbona huyo Mama E hana zile nyama nyama kama ile mizigo Mkuu 😅 😜

Umefanya nimzoom mara mbili mbili kujiridhisha, Kwa mbali utasema Bibi yenu Mwaka 47 🤗
Ile mizigo mkuu umri hauruhusu tena. Nimehamia rasmi huku kwa tuvimbaumbau. Cha muhimu tu kiwe slim thick (if you know what I mean). Hii mitulinga kama ya huku Singida kwenye alizeti labda mara moja moja tu mkuu ila kuweka kambi hapana kwa sasa! 😁😁😁🖐🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

Screenshot_20240610_174252_Instagram Lite.jpg
 
Back
Top Bottom