Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,976
- 24,273
Ndala za kwendea uani tu. Usivae kwa shughuli maalum.
Shauri yako. 🤣
Ndala za kwendea uani tu. Usivae kwa shughuli maalum.
Kwahiyo wazo langu la kufanya surgery sio baya?Ndala za kwendea uani tu. Usivae kwa shughuli maalum.
Shauri yako. 🤣
Ni zuri mno. Na lingependeza nikufanyie mimi.Kwahiyo wazo langu la kufanya surgery sio baya?
Nakuja nakuja tupange tarehe! Nataka ziwe na sindano ile ndefu ngumu inayochoma🤸Ni zuri mno. Na lingependeza nikufanyie mimi.
Utabamba. Watakukoma.
Kabinywa tu huyo hana maslai yoyote anayoyapata kwa sasa. Akilamba asali, ananyamaza kimyaaaaa. Usiwaamini hawa wanasiasa wetu. Huyo toka atapeliwe ekari 1000 kule Iringa, nimemtoa maana sana.Kuna saa nawaza ukombozi wetu kwenye nchii utatoka kanda ya ziwa , ikizingatiwa mwalimu nae alitoka kanda hio hio.
Hela unayo lakini?Nakuja nakuja tupange tarehe! Nataka ziwe na sindano ile ndefu ngumu inayochoma🤸
Umeshaanza kuharibu maongezi😎Hela unayo lakini?
Sasa wataka bure? H ah ahhaha.Umeshaanza kuharibu maongezi😎
Nimelia sanaSasa wataka bure? H ah ahhaha.
Au tunajuana zetu?
Hahahaa haipo hiyo. Wewe njoo tubonge.Nimelia sana
Nikajua utanifanyia bure! Mimi mwanajf mwenzako😎
Usinifanyie hivyo wewe hutaki mchumba angu haenjoy?Hahahaa haipo hiyo. Wewe njoo tubonge.
Mitego ya house girl imemnasa mwalimu.
Mkuu unachokihubiri na unachokitenda ni vitu viwili tofauti 🙌Kwa Mama E hakuna kuchapiwa mkuu. Hata ma male besties wamepambana sana lakini wameshindwa 😁😁😁💪💪💪
View attachment 3027917
Hata kwa hela nimehairisha.Usinifanyie hivyo wewe hutaki mchumba angu haenjoy?
😂Acha ukorofi!Hata kwa hela nimehairisha.
Yaani nimtengenesee Lucas mautamu? Anyonye hizo hizo ndala.
Mchumba ni nani?😂Acha ukorofi!
Tuongee biashara hapa, Lucas ni Lucas mchumba ni mchumba
Wewe hapo🤸😂Mchumba ni nani?
Enheee hebu njoo nimalize kazi nifurahie kazi ya mikono yangu.Wewe hapo🤸😂
Nilikutumia essay pm nasubiri majibuEnheee hebu njoo nimalize kazi nifurahie kazi ya mikono yangu.
Ebo🙄