Dah! Hadi huyu mzee kachapiwa!😂
Kwa Mama E hakuna kuchapiwa mkuu. Hata ma male besties wamepambana sana lakini wameshindwa 😁😁😁💪💪💪Kuchapiwa hakuepukiki🤣
Aaaah😎 Nyonyo hizo.
Maisha ya kupiga winga magumu sana.
Sasa huyu wa katikati angewezaje kusafiri ili hali ni kikongwe, urais uendane na umri jamani khaaah.
Muda siyo mrefu watakuwa wakimbizi kwenye nchi yetu.
Masikini hasikilizwi, watu wanapeleka pesa kwenye gesi, madini, misitu na wanyama wa mwituni na wanyama wa kufuga ambavyo vyote tunavyo.