Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

3749.jpg
 
Single maza ni laana

Kanuni ni zilezile inapohusu single maza

●Hatulei bao la mwanaume mwingine

●Mwanaume anatakiwa aanzishe familia yake sio ajiunge kwenye familia ya mwanaume mwenzake

●Single maza waolewe na baba za watoto wao

●Single maza ni wa kupiga na kusepa

Ni mwanaume mpumbavu na mjinga tu ndiye anayeweza kumuoa single maza

Learn or perish
Ongea taratibu bro dunia unazunguka ujue!
Siku mzunguko ukikufikia hautakumbuka kauli za namna hii.
 


Dudu baya na wimbo wake.....
Nakupenda tuu, vile ulivyo nakupenda tuu...

Japo hauna mabega, nakupenda tuu..
Ukiingiza kichwa tuu inazama yote, nakupenda tuu....
Ikianza chungu/maumivu ikiishia tamu na uroda, nakupenda tuu...

Dudu baya ila linasababisha watu wagombane, wauane, wahitilafiane, wachukiane n.k.

Dudu angekuwa mtulivu, mengi mabaya yangeepukika.
Dudu likiwaka halielewi kitu hadi litulizwe....😏😏
Dudu lina jicho moja ila linaona hata likiwa limefungiwa kwenye kufuli, litachomoka bila miwani dudu linainua kichwa juu kutafuta mahala pa kutulizia/kupunguza uzito.

Ila ukikutana na dudu inayomilikiwa na mstaarabu shupavu, uweeeh.....

Hutaki hata kina mwajuma na sophia wajue yaliyomo yamo.

Hizi akili za Kasinde zikianza kuteremsha silabu, bila kuweka oko viganjani ntajikuta nachana mkeka....

Alamsiki.
 
Back
Top Bottom